Mh. Elly Masoka, (Naibu waziri wa Katiba na Sheria Serikali ya Wanachuo Chuo Kikuu Mzumbe (MUSO)) anawatangazia wanachuo wote wa Mzumbe ya kuwa kutakuwa na Uchaguzi unaotarajiwa kufanyika jumamosi kuanzia saa 4:00 Asubuhi.
Wanachuo wote wa Mabweni husika wenye nia ya kugombea nafasi hizo wanakumbushwa kutumia nafasi hiyo kikatiba kwa kujiandikisha majina yao kwa Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Mh. Elly Masoka kupitia Namba ya simu 0719 771115 au 0765 097537
No comments:
Post a Comment