Sunday, November 11, 2012

KIKAO CHA BUNGE LA SERIKALI YA WANACHUO NOVEMBA 11, 2012

Mh. Waziri Mkuu (Nasibu Kanduru) wa Serikali ya Wanafunzi Mzumbe (MUSO) akifungua  Bunge  la  kwanza  la mwaka wa  masomo  2012/2013




Wabunge wa Serikali ya wanafunzi Mzumbe (MUSO) wakifuatilia hoja mbalimbali zilizotolewa ndani ya Bunge hilo.


Mh. Naibu Spika (Christina Nelson) wa Bunge la Serikali ya wanafunzi Mzumbe (MUSO)
Katikati ni Mh. Spika (Thomas James Salala) wa Bunge la wanafunzi wa Tawi la Mzumbe , Dar  Es  Salaam  na  kulia ni Katibu Mkuu wa Serikali ya wanafunzi (MUSO)  na kushoto ni Makamu Katibu Mkuu wa Bunge la wanafunzi Mzumbe (MUSO)

Waziri wa fedha akiwasilisha hoja ya mswaada wa fedha kwa mara  ya  kwanza.

Hoja hiyo itawasilishwa tena katika Bunge hilo katika Bunge lijalo baada ya kusomwa kwa mara ya kwanza na kuafikiwa na Wabunge pamoja na Serikali ijadiliwe katika Bunge lijalo ili wapate muda kuupitia muswaada huo, kuutafakari na kuuelewa na kujiridhisha ili kupitisha muswaada wanaoufahamu.
Mh. Grace Kasebele (waziri wa Katiba  na  Sheria)  akitoa  hoja  ya  kupitisha  Mswaada  wa  klabu ya Haki za Binadamu  (Human Rights Club), hoja hiyo imeungwa mkono na kupitishwa na wabunge pamoja na hoja hiyo, hoja nyingine zilizopitishwa ni pamoja na hoja za Waziri wa Elimu, Mh. Vaileth Lusana (hayupo  pichani) zilizolenga kufungua klabu mbili (Youth Career club na Pro-Poor Oriented Foundation (PPOF))

No comments:

Post a Comment

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

IDADI YA WASOMAJI

RedEnvelope
. .

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...