![]() |
| Mwalimu Ghasia (Mkurugenzi Mwandamizi wa Idara ya habari na Mawasiliano) akifundisha matumizi na umuhimu wa E-learning wanzafunzi wa mwaka wa masomo 2012/2013 katika mafunzo ya awali. |
![]() |
| Bi. Domitila (Google Ambassador) akiwafundisha wanafunzi matumizi na umuhimu wa Google Apps for Education Services. |
![]() |
| Wanafunzi wakiwa katika picha ya pamoja na wawezeshaji wa mafunzo ya awali ya Habari na Mawasiliano |






No comments:
Post a Comment