![]() |
Mwalimu Ghasia (Mkurugenzi Mwandamizi wa Idara ya habari na Mawasiliano) akifundisha matumizi na umuhimu wa E-learning wanzafunzi wa mwaka wa masomo 2012/2013 katika mafunzo ya awali. |
![]() |
Bi. Domitila (Google Ambassador) akiwafundisha wanafunzi matumizi na umuhimu wa Google Apps for Education Services. |
![]() |
Wanafunzi wakiwa katika picha ya pamoja na wawezeshaji wa mafunzo ya awali ya Habari na Mawasiliano |
No comments:
Post a Comment