Profesa Daniel Mkude (Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Kikuu Mzumbe) akiwaeleza wanafunzi wa mwaka wa masomo 2012/2013 shughuli mbalimbali zinazofanywa na Bodi hiyo ikiwa ni pamoja na kusimamia raslimali za Chuo, kuhakikisha wanafunzi wanajifunza katika mazingira mazuri, Kutunga Sheria ndogondogo za Chuo (by Laws), kupitisha mapendekezo mbalimbali yanayotolewa na Uongozi wa Chuo katika vikao vyake vinne vinavyofanyika kila mwaka, mfano kama kuna uhitaji wa kuongeza vitivo (faculties/Schools) pia amewasisitizia wanafunzi kuzingatia masomo ili kufikia malengo yao binafsi na yale ya Chuo. (Kutoka kulia ni Rais wa Serikali ya MUSO, Msaidizi wa Mshauri Mkuu wa Wanafunzi (Assisstant Dean Of Students), DVC Finace and Administration, Mweyekiti wa Bodi ya Chuo na DVC Accademic). |
No comments:
Post a Comment